009-Maswali 200 Na Majibu Ya ‘Aqiydah: Niyyah Ya Kweli Ni Ipi?

 

  200سُؤالٌ وَ جَوَابٌ فِي الْعَقِيدَة

Maswali 200 Na Majibu Ya ‘Aqiydah

 

لِلشَّيخ حافِظ بن أحْمَد الحَكمَيّ 

Shaykh Haafidhw Bin Ahmad Al-Hakamiyy (رحمه الله)  

Imefasiriwa na:  Alhidaaya.com

 

009-Niyyah Ya Kweli Ni Ipi

 

 

 

Swali:

ما هو صدق العزيمة؟

Ni ipi hiyo niyyah ya kweli?

 

Jibu: 

 

ج: هو ترك التكاسل والتواني وبذل الجهد في أن يصدق قوله بفعله قال الله تعالى  (يا أيها الذين آمنوا لم تقولون ما لا تفعلون كبر مقتا عند الله أن تقولوا ما لا تفعلون)

 

Hayo ni kuacha uvivu na kuakhirisha akhirisha (mambo) na kutoa juhudi katika kusadikisha kauli yake na vitendo vyake. Anasema Allaah (سبحانه وتعالى):

 يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لِمَ تَقُولُونَ مَا لَا تَفْعَلُونَ﴿٢﴾

Enyi walioamini!  Kwanini mnasema yale msiyoyafanya?

كَبُرَ مَقْتًا عِندَ اللَّـهِ أَن تَقُولُوا مَا لَا تَفْعَلُونَ﴿٣﴾

Ni chukizo kubwa mno mbele ya Allaah kwamba mnasema yale msiyoyafanya.

[Asw-Swaff: 2-3]

 

 

 

Share