Maajabu Matano Ya Dunia
SWALI:
Asalaam Alaikum Warahmatulhaahi Wabarakaatuhu, mimi sijambo [ Al Hamdulillaah] kama nanyi hamjambo viongozi wetu wa Dini ya kweli basi ni kheri. Naomba msaada mnijibu.
Maajabu matano ya Dunia.
JIBU:
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho
Vitu ambavyo vinajulikana kuwa ni maajabu ya dunia ni saba kwa mujibu wa wataalamu wasiokuwa Waislamu. Maajabu yote haya ni katika majengo yaliyotengenezwa na watu katika zama tofauti. Orodha hii ambayo tunaiandika, wametofautiana sana watu kwayo kwani vigezo ambavyo vinatumika havieleweki na hata na wenyewe walioviweka, hivyo kila kikundi au mtu ana orodha yake kulingana na muono wao/wake. Vile vinavyojulikana ni
1. The Great Pyramid ya
2. The Hanging Gardens ya Babeli (Babilon) huko
3 The Statue (sanamu) ya Zeus huko
4. The
5. The Mausoleum (kaburi lililojengewa) la Mfalme Maussollos wa Ufursi (
6. The Collossus huko Rhodes, bandari ya Wayunani katika kisiwa cha Mediterenia.
7. The Lighthouse (Nyumba ya mwangaza) huko
Wengine wamesema Taj Mahal ambayo ipo
Wa Allaahu A'aalam
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha


