Sharbati Ya Boga Ya Mdalasini
(Kupata takriban gilasi 7 )
Vipimo
Boga lilopikwa - 2 vikombe
Maziwa ya kibati (evaporated milk) - 1 kikombe
Maziwa ya kawaida - 3 au 4 vikombe
Mdalasini wa unga - 1 kijiko cha chai
Sukari - 1/3 (robo) kikombe
Hiliki - ½ kijiko cha chai
Barafu vipande vipande - Kikombe 1
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kunywa kwa siha na kufurahika)