Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Sha'baan: Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم) Alikuwa Akifunga Zaidi Sha'baan

 

 

Miongoni Mwa Fadhila Za Mwezi Wa Sha’baan:

  Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم) Alikuwa Akifunga Zaidi Kuliko Miezi Mingine

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema: 

 

 

“Ama kuhusu Sha’baan, Naam! Ni mwezi makhsusi kuliko mingineyo kwa sababu Nabiy (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alikuwa akikithirisha kufunga Swiyaam, bali alikuwa akifunga Swiyaam mwezi wote isipokuwa kidogo tu. Kwa hiyo inapasa kukithirisha Swiyaam katika Sha’baan.”

 

 

[Liqaa Al-Baab Al-Maftuwh, 174]

 

 

 

Share