Kumlipa Ubaya Aliyekutendea Maovu
SWALI:
Kumrudishia mtu mabaya aliyokufanyia unalipwa dhambi? Sina zaidi ni mwana funzi wenu.
JIBU:
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.
Si vizuri kwa mtu kumrudishia mabaya mwenziwe bali Muislamu anatakiwa asamehe na kwa
“Mema na maovu hayalingani. Pinga uovu kwa lilio jema zaidi. Hapo yule ambaye baina yako naye pana uadui atakuwa
Na Allah Anajua Zaidi
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha


