Nini Hukmu Ya DNA Katika Uislam
SWALI:
Asalam Aleikum,
Ningependa kujua
Na kama haukubaliki, hii haina maana kwamba mwizi ambaye ameacha finger prints (alam za vidole) hawezi kuadhibiwa kwenye mahakama ya Kiislamu kwa vile hakuna shahidi wa macho aliyemuona? Nimependa makala zenu ninaishi Uingereza ningependa kujibiwa InshaAllaah.
Wenu mpenda kujua
JIBU:
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu 'anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.
Shukran kwa suala lako ambalo ni zuri na muhimu
Ni hakika isiyopingika kuwa Uislamu unakwenda sambamba na tafiti pamoja na nadharia sahihi za kisayansi. Nadharia yoyote ambayo imefanyiwa uchunguzi wa kina haupingani na Ayah au Hadithi sahihi. Ni nadharia
Ni hakika pia katika nadharia za kisayansi kuwa lililo sahihi leo linaweza kuwa uongo kesho. Kwa hiyo, hizi nadharia huwa mara nyingi zinabadilika badilika. Nadharia zikingona na Qur-aan au Hadiyth sahihi ni kuwa ima hatujaifahamu Aayah au Hadiyth hiyo au utafiti wa kisayansi haujafika katika uvumbuzi wa jambo
Jambo la sisi kujiuliza ni kuwa je, ushahidi wa
Ikiwa tutazungumzia dola ambayo ni ya Kiislamu hata jambo la kwenda katika maabara ni la kupoteza wakati, kwani watu watakuwa ni wenye Imani ya hali ya juu. kwa jinsi hiyo watakuwa wanajileta wenyewe ili watakaswe hata bila mashahidi, kwani Muumini anafadhilisha apigwe hapa duniani kuliko kupata adhabu kesho Akhera. Mfano ni kijana Ma'iz bin Maalik (Radhiya Allaahu ‘anhu) ambaye alijipeleka kwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) naye akarujumiwa (imepokewa na Abu Daawuud). Na pia kesi ya mwanamke Ghamidiyah ambaye naye alijipeleka mwenyewe ili atakaswe na Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam).
Hivyo suala la ushahidi wa macho ni muhimu
1. Qur-aan wazi wazi inaamuru kwamba kuwe na angalau mashahidi wane walioshuhudia kwa macho
2. Mashahidi wawe ni wenye kuaminika kufuatana na sharia ya Kiislamu ya ushuhuda, ambayo inahitajia kwamba mashahidi wasiwe ni waongo katika ushuhuda wa tukio lolote lililopita, ithibitishwe kuwa hawajawahi kufanya uhalifu na kusiwe na uthibitisho kuwa wana chuki dhidi ya washitakiwa, na kadhalika. Ikiwa ushuhuda si wakuaminika basi hakuna adhabu kwa washitakiwa.
3. Mashahidi watoe ushahidi kuwa wamewaona (mwanaume na mwanamke) katika kitendo chenyewe cha kujamiiana kabisa
4. Ushahidi wa mashahidi uafikiane kabisa kuhusu wakati, mahali na watu waliofanya kitendo hicho. Khitilafu yoyote kuhusu hayo itabatilisha ushahidi wao
Masharti haya yanadhihirisha kuwa sharia ya Kiislamu haidhamirii kuwaadhibu watu hivi hivi. Inatoa adhabu kali sana, pale tu ambapo juu ya hatua zote za marekebisho hazikufua dafu. Mimba ya mwanamke kulingana na wanachuoni wengi si thibitisho la kumpelekea mwanamke kurujumiwa au kupigwa mijeledi. Adhabu hiyo kali ni lazima zitegemezwe aidha juu ya ushahidi au kukiri kosa kwa mshitakiwa
Katika Hadithi nyingine alisema: "Jaribuni kuepuka kuwaadhibu Waislamu kila inapowezekana, na
Kufuatana na kanuni hii, kuwepo kwa mimba si ushahidi thabiti wa zinaa, japokuwa una nguvu zaidi upande wa shaka. Kwani upo uwezekano kwa moja katika milioni kwa mbegu ya kiume ya mwanamume kuingia katika uzao wa mwanamke kwa njia moja au nyingine bila ya kujamiina, hivyo kumfanya mwanamke mja mzito.
Ndio tunapata ya kwamba Ma'iz alipokuwa kwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam), Mtume alimuhoji na kugeuza uso wake mara nne, kila kijana huyo alipotaka kutakaswa. Akawa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) anamwambia labda umembusu tu, au umemkumbatia, au umemshika shika tu au labda ulimtazama kwa tamaa. Lakini kijana huyo alikariri kuwa amejamiiana kabisa. Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alimwuliza
Kwa hiyo katika mas-ala nyeti
Uchunguzi katika uhalifu wowote unaweza kuangalia mas-ala ya
Nyenzo hizi za kisayansi zinaweza kutumika sehemu nyingine
Na Allaah Anajua zaidi
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha


