032-Du'aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم): Ukunjufu Wa Rizki Katika Uzee Na Kukatika Umri

 

Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)

 

Kuomba Ukunjufu Wa Rizki Katika Uzee Na Kukatika Umri

 Alhidaaya.com

 

 

 

اللَّهُمَّ اجْعَلْ أَوْسَعَ رِزْقِكَ عَلَيَّ عِنْدَ كِبَرِ سِنَّي وَانْقِطَاعِ عُمُرِي

 

Allaahummaj-’al awsa’a rizqika ‘alayya ‘inda kibari sinniy wanqitwaa’i ‘umriy

 

Ee Allaah, Jaalia ukunjufu wa rizki Yako kwangu wakati wa uzee wangu, na kukatika umri wangu

 

[Al-Haakim, Swahiyh Al-Jaami’ (1/396), Ahaadiyth Asw-Swahiyhah (1539)]

 

 

 

 

Share