Skip to main content

Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)

Kuomba Ukunjufu Wa Rizki Katika Uzee Na Kukatika Umri

 Alhidaaya.com

اللَّهُمَّ اجْعَلْ أَوْسَعَ رِزْقِكَ عَلَيَّ عِنْدَ كِبَرِ سِنَّي وَانْقِطَاعِ عُمُرِي

Allaahummaj-’al awsa’a rizqika ‘alayya ‘inda kibari sinniy wanqitwaa’i ‘umriy

Ee Allaah, Jaalia ukunjufu wa rizki Yako kwangu wakati wa uzee wangu, na kukatika umri wangu

[Al-Haakim, Swahiyh Al-Jaami’ (1/396), Ahaadiyth Asw-Swahiyhah (1539)]