035-Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم): Maombi Bora, Duaa, Kufuzu, Amali, Thawabu, Uhai Mauti, Kuthibitishwa...

 

Du’aa Za Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)

 

Kuomba Maombi Bora, Du'aa, Kufuzu, Amali, Thawabu,

Uhai, Mauti Bora, Kuthibitishwa, Mizani Nzito...

 

 Alhidaaya.com

 

 

 أللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ خَيْرَ الْمَسْأَلَةِ، وَخَيْرَ الدُّعَاءِ، وَخَيْرَ النَّجَاحِ، وَخَيْرَ الْعَمَلِ، وَخَيْرَ الثَّوَابِ، وَخَيْرَ الْحَيَاةِ، وَخَيْرَ الْمَمَاتِ، وَثَبِّتْنِي، وَثَقِّلْ مَوَازِينِي، وَحَقِّقْ إِيمَانِي، وَارْفَعْ دَرَجَاتِي، وَتَقَبَّلْ صَلاَتِي، وَاغْفِرْ خَطِيئَتِي، وَأَسْأَلُكَ الدَّرَجَاتِ الْعُلَى مِنَ الْجَنَّةِ آمِينْ. اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ فَوَاتِحَ اْلخَيْرِ، وَخَوَاتِمَهُ، وَجَوَامِعَهُ، وَأَوَّلَهُ، وَآَخِرَهُ،  وَظَاهِرَهُ، وَ بَاطِنَهُ،  وَالدَّرَجَاتِ الْعُلىَ مِنَ الْجَنَّةِ آمِينْ. اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ خَيْرَ مَا آتِي، وَخَيْرَ مَا أَفْعَلُ، وَخَيْرَ مَا أَعْمَلُ، وَخَيْرَ مَا بَطَنَ، وَخَيْرَ مَا ظَهَرَ، وَالدَّرَجَاتِ الْعُلىَ مِنَ الْجَنَّةِ آمِينْ. اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ أَنْ تَرْفَعَ ذِكْرِي ، وَتَضَعَ وِزْرِي، وَتُصْلِحَ أَمْرِي، وَتُطَهِّرَ قَلْبِي، وَتُحَصِّنَ فَرْجِي، وَتُنَوِّرَ قَلْبِي ، وَتَغْفِرَ لِي ذَنْبِي، وَاَسْأَلُكَ الدَّرَجَاتِ الْعُلىَ مِنَ الْجَنَّةِ آمِينْ. اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ أَنْ تُبَارِكَ فَي نَفْسِي، وَفِي سَمْعِي، وَفِي بَصَرِي، وَفِي رُوحِي، وَفِي خَلْقِي، وَفِي خُلُقِي، وَفِي أَهْلِي، وَفِي مَحْيَايَ، وفي مَمَاتِي، وَفِي عَمَلِي، فَتَقَبَّلْ حَسَنَاتِي، وَاَسْأَلُكَ الدَّرَجَاتِ الْعُلىَ مِنَ الْجَنَّةِ آمِينْ.    

 

Allaahumma inniy as-aluka khayral-mas-alah, wa khayrad-du’aai, wa khayran-najaah, wa khayral-‘amali, wa khayrath-thawaabi, wa khayral-hayaati, wa khayral-mamaati, wa thabbitniy, wa thaqqil mawaaziyniy, wa haqqiq iymaaniy, warfa’ darajaatiy, wa taqabbal Swalaatiy, waghfir khatwiy-atiy, wa as-alukad-darajaatil ‘ulaa minal-Jannah. Aamiyn. Allaahumma inniy as-aluka fawaatihal-khayri wa khawaatimahu, wa jawaami’ahu, wa awwalahu, wa- aakhirahu, wa dhwaahirahu, wa baatwinahu, wad-darajaatil ‘ulaa minal-Jannati. Aamiyn. Allaahumma inniy as-aluka khayra maa aatiy, wa khayra maa af-’alu, wa khayra maa a-’malu, wa khayra maa batwana, wa khayra maa dhwahara, wad-darajaatil ‘ulaa minal-Jannati. Aamiyn. Allaahumma inniy as-aluka an Tarfa’a dhikriy, wa tadhwa’a wizriy, wa tuswliha amriy, wa tutwahhira qalbiy, wa tuhaswina farjiy, wa tunawwira qalbiy, wa taghfiraliy dhambiy, wa as-alukad-darajaatil ‘ulaa minal-Jannati. Aamiyn. Allaahumma inniy as-aluka an Tubaarika fiy nafsiy, wafiy sam-’iy, wafiy baswariy, wafiy ruwhiy, wafiy khalqiy, wafiy khuluqiy, wafiy ahliy, wafiy mahyaaya, wafiy mamaatiy, wafiy ‘amaliy, fataqabbal hasanaatiy, wa as-alukaddarajaatil ‘ulaa minal-Jannah. Aamiyn

 

Ee Allaah hakika mimi nakuomba maombi bora kabisa na du’aa bora kabisa, na kufuzu bora kabisa, na ‘amali bora kabisa, thawabu bora kabisa, na uhai bora kabisa, na mauti bora kabisa, na nithibitishe, na fanya nzito Mizani yangu, na thibitisha iymaan yangu, na nyanyua daraja zangu, na Takabali Swalaah zangu, na Ghufuria madhambi yangu, na nakuomba daraja ya juu katika Jannah, Aamiyn. Ee Allaah hakika mimi nakuomba mwanzo mzuri, na khatima nzuri, na ujumla wa uzuri kutoka mwanzo mpaka mwisho wake, na dhahiri yake na undani wake, na daraja za juu katika Jannah, Aamiyn.

Ee Allaah hakika mimi nakuomba mazuri nnayoyaleta, na mazuri niyafanyayo, na mazuri niyatendayo, na mazuri yanayofichika, na mazuri yanayodhihiri, na daraja za juu katika Jannah, Aamiyn.

Ee Allaah hakika mimi nakuomba upandishe utajo wangu na uondoe dhambi zangu, na utengeneze mambo yangu, na utakase moyo wangu, na uhifadhi tupu zangu, na nawirisha moyo wangu, na unighufurie madhambi yangu, na nakuomba daraja za juu katika Jannah, Aamiyn.

Ee Allaah hakika mimi nakuomba unibariki katika nafsi yangu, na kusikia kwangu, na kuona kwangu, na roho yangu, na umbile langu, na tabia  yangu, na katika familia yangu, na katika uhai wangu, na katika mauti yangu, na katika ‘amali zangu, basi nitakabalie mazuri yangu, na nakuomba daraja za juu katika Jannah, Aamiyn.

 

[Ameitoa Al-Haakim kutoka kwa Umm Salamah marfuw’ na ameipa daraja ya Swahiyh na ameikubali Adh-Dhahabiy (1/520)]

 

 

Share