Imaam Ibn Taymiyyah: Wanaoshirikiana Katika Dhambi Na Uadui Huchukiana Wenyewe Kwa Wenyewe

 

Wanaoshirikiana Katika Dhambi Na Uadui Huchukiana Wenyewe Kwa Wenyewe

 

Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

Amesema Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah):

 

“Watu wakishirikiana katika dhambi na uadui basi (matokeo yake) ni huchukiana wenyewe kwa wenyewe.”

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (15/128)]

 

Share