Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Miongoni Mwa Sababu Za Moyo Wa Huruma Na Kurudi Kutubia Kwa Allaah

 

Miongoni Mwa Sababu Za Moyo Wa Huruma Na Kurudi Kutubia Kwa Allaah

 

 Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah) amesema: 

 

“Tambua kwamba kushikamana na walio dhaifu na Mayatima na Watoto wadogo inaingiza Rahmah katika moyo na kuufanya laini na wenye huruma na kurejea kutubia kwa Allaah (‘Azza wa Jalla).”  [Sharh Riyadhw Asw-Swaalihiyn (3/89)]

 

Share