07-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Kukopa kwa Ajili ya Udhwhiya Inafaa?

 

Kukopa kwa Ajili ya Udhwhiya Inafaa?

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

 

Fakiri ambaye hana chochote mkononi pindi 'Iydul-Adhw-haa  inapofika lakini ni mwenye kutarajia kupokea mshahara wake wa mwezi basi na akope achinje kisha alipe?

 

 

JIBU:

 

 

Kama hatoweza kulipa kwa muda wa karibu basi haifai kwake kukopa ili achinje kwani hili litamfanya ashughulike na kulipa deni.

 

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/110)]

 

 

 

 

 

Share