13-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Wakati Na Siku Za Kupasa Udhwhiya (Kuchinja)

 

Wakati Na Siku Za Kupasa Udhwhiya (Kuchinja)

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

 

Wakati wa Udhwhiya ni baada ya Swalaah ya  'Iyd (Al-Adhwhaa) hadi kuzama kwa jua siku ya kumi na tatu, kwa maana ni siku nne (jumla); Siku ya ‘Iyd na siku tatu baada ya hapo.

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/12)]

 

Share