Mahshi Waraqah ‘Anab (Majani Ya Zabibu Yaliyojazwa) Chakula Cha Sham

VIPIMO
Majani ya Zabibu (Grape leaves) 1 Kilo
(au yanapatikana katika chupa)
Mchele wa Kimisri (Egyptian rice)
uliooshwa na kuchujwa 2 Vikombe
(ni mchele wa chembe ndogo ndogo
zaidi kuliko wa kawaida)
Vitunguu maji vilivyosagwa 5
Mafuta ¼ kikombe
Kotmiri iliyokatwa ndogo ndogo kabisa ¼ kikombe
Baqdunis (Parsely leaves) iliyokatwa
ndogo ndogo kabisa ¼ kikombe
Nyanya ya kopo ½ kibati
Ndimu ya maji ½ kikombe
Mafuta ya zaituni (olive oil) ½ kikombe
Viazi vilivyokatwa duara nyembamba 3
Maji 3 Vikombe
Bizari ya pilau ya unga (cumin powder) ½ kijiko
Pilipili manga ½ kijiko cha chai
Chumvi kiasi
NAMNA YA KUTAYARISHA NA KUPIKA
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha


