03-Rabiy'ul Awwal: Mafunzo Katika Miezi Ya Hijri: Ya Kutekeleza Na Ya Kujiepusha

 

03-Rabiy'ul Awwal

 

Mafunzo Katika Miezi Ya Hijri: Ya Kutekeleza Na Ya Kujiepusha

 

 

Nasiha

 

 

 

Sababu 35 Muislam Asisherehekee Maulidi

 

 

 

Sababu 35 Muislam Asisherehekee Maulidi

 

 

Sababu Ya Kwanza: 

 

Kumpenda Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):

 

Kwa sababu ya kumpenda Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) ni kumfuata Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam). Naye (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) tokea kuzaliwa kwake hadi kufariki kwake hakusherehekea siku yake ya kuzaliwa wala Maswahaba zake hawakumsherehekea. Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):

 

  قُلْ إِن كُنتُمْ تُحِبُّونَ اللّهَ فَاتَّبِعُونِي يُحْبِبْكُمُ اللّهُ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ وَاللّهُ غَفُورٌ رَّحِيمٌ

Sema (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم): “Mkiwa mnampenda Allaah, basi nifuateni mimi, Atakupendeni Allaah na Atakughufurieni dhambi zenu. Na Allaah ni Mwingi wa kughufuria, Mwenye kurehemu. [Al-'Imraan: 31]

 

Sababu Ya  Pili:

 

ENDELEA….

 

 

 

 

 

Imaam Ibn Taymiyyah: Maulidi: Ingelikuwa Maulidi Ni Thawabu Swahaba Wangekuwa Na Haki Zaidi

 

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Maulidi: Siku Ya Kuzaliwa Nabiy ﷺ Haijulikani

 

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah: Maulidi: Hukmu Ya Kusherehekea Maulidi Ya Nabiy

 

 

Imaam Ibn Baaz: Maulidi Ingelikuwa Ni Jambo La Shariy’ah Asingelificha Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)

 

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Maulidi: Yangelikuwa Maulidi Ni Ukamilifu Wa Dini Yangekuweko Kabla Kufariki Nabiy

 

 

Imaam Ibn Baaz: Salaf Walimpenda Zaidi Nabiy Nao Ni Wajuzi Zaidi Na Hawakusherehekea Maulidi.

 

 

Al-Lajnah Ad-Daa'imah: Hairuhusiwi Kupongezana Kwa Mnasaba Wa Mwaka Mpya Wa Hijri (Kiislamu) Au Maulidi

 

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah: Kusoma Al-Faatihah Katika ‘Aqdi Za Ndoa Na Katika Misiba Ni Bid’ah

 

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah: Maulidi: Tarehe Aliyozaliwa Nabiy, Mashindano Ya Qur-aan, Kuchinja, Mihadhara

 

 

Imaam Ibn Taymiyyah: Kufanya Misimu Ya ‘Ibaadah Bila Ya Kuweko Dalili Ni Bid’ah

 

 

Imaam Ibn Baaz: Maulidi: Hukmu Ya Kuchinja Kwa Ajili Ya Maulidi

 

 
 

Shaykh 'Abdul-Muhsin Al-'Abbaad: Maulidi: Kula Chakula Kinachoandaliwa Kwa Ajili Ya Bid’ah

 

 

Shaykh 'Abdul-Muhsin Al-'Abbaad - Hukmu Ya Kuitikia Mwaliko Wa Mzushi

 

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah: Maulidi: Kula Nyama Inayochinjwa Kwa Ajili Ya Maulidi Na Vinginevyo

 

 

Shaykh Fawzaan: Maulidi: Chakula Kinachoandaliwa Katika Hafla Ya Maulidi Haikujuzu Kuliwa

 

 

Shaykh Fawzaan: Maulidi: Kuhusisha Siku Ya Maulidi Kwa Kuielezea Siyrah Ya Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم)

 

 

 

 

 

 

Imaam Ibn Rajab: Yaliyoanzishwa Bila Kuweko Katika Shariy’ah Ni Bid’ah

 

 

Imaam Sufyaan Ath-Thawriy: Ibliys Anaipenda Bi’dah Zaidi Kuliko Maasi

 

 

Shaykh Swaalih Al-Fawzaan - Bid'ah Inamweka Mtu Mbali Na Allaah

 

 

Imaam Al-Albaaniy - Ijue Sunnah, Utaijua Bid’ah

 

 

Imaam Ibn Kathiyr: Kama Bid’ah Ni Khayr Wangetutangulia Maswahaba

 

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Khayr Yote Imo Katika Kufuata Salaf

 

 

Ibn Nuhaas:Kusherehekea Yaliyo Bid’ah Ni Upotezaji Wa Nguvu Na Mali

 

 

Imaam Mujaahid: Kufuata Njia Nyenginezo Zisizokuwa Za Sunnah; Ni Bid’ah

 

 

Imaam Al-Albaaniy: Bali Atakuadhibu Kwa Kwenda Kinyume Na Sunnah

 

 

Imaam Ibn Nuhaas: Kusherehekea Yaliyo Bid’ah Ni Upotezaji Wa Nguvu Na Mali

 

 

http://www.alhidaaya.com/sw/kauli_za_salaf_bidah

 

 

 

 

 

 

http://www.alhidaaya.com/sw/aqiydah_bidah

 

 

Miongoni Mwa 'Ulamaa Waliopinga Maulidi

 

Sababu 35 Muislam Asisherehekee Maulidi PDF

 

Mjadala Baina Ya Salafi Na Sufi Kuhusu Maulidi

 

Mjadala Baina Ya Salafi Na Sufi Kuhusu Maulidi (PDF)

 

Mjadala Baina Imaam Al-Albaaniy Na Msherehekeaji Maulidi

 

Mjadala Baina Imaam Al-Albaaniy Na Msherehekeaji Maulidi (PDF)

 

 

Shaykh Fawzaan: Hukumu Ya Kusherehekea Kuzaliwa Kwa Mtume (Swalla Allaahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam)

 

Vizuizi 12 Dhidi Ya Kusherehekea Kuzaliwa Kwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)

 

Maulidi – Historia Yake, Hukmu Na Kauli Za Wanachuoni

 

Hoja Dhidi Ya Uzushi Wa Maulidi Na Watetezi Wake

 

Maulidi (Kusherehekea Kuzaliwa Kwa Mtume)

 

Kumpenda Mtume صلى الله عليه وآله وسلم Ni Kumtii Na Kumfuata

 

 

Mashairi Na Zingatio:

 

 

Mashairi: Maulidi Walianzisha Mashia

 

Mashairi: Bid'ah (Uzushi Katika Dini)

 

Mashairi: Khitmah

 

Zingatio: Haipasi Kusherehekea Maulidi

 

 

 

Maulidi: Anataka Tarjama Ya Maulidi Barzanji Ili Ajue Nini Hasa Kimeandikwa Ndani Yake -- Maswali: Bid'ah - Uzushi

 

 

 

Maulidi: Ufafanuzi Wa Maneno Katika Kitabu Cha Ibn Taymiyyah Kuhusu Bid'ah Ya Maulidi -- Maswali: Bid'ah – Uzushi

 

 

 

Maulidi: Ikiwa Maulidi Hayafai Vipi Mashekhe Wengine Wanayakubali? -- Maswali: Bid'ah - Uzushi

 

 

 

Maulidi: Ameweka Nadhiri ya Kusoma Maulidi Kisha Katambua kuwa Ni Bi'dah Afanyeje? -- Maswali: Bid'ah - Uzushi

 

 

 

Maulidi: Sherehe Za Harusi Zina Maasi Uzushi Wa Maulidi Nyimbo Na Kujifakharisha -- Maswali: Bid'ah – Uzushi

 

 

 

Maulidi: Anataka Kujua Kuhusu Maulidi Na Ikiwa Yameanzishwa Na Mashia -- Maswali: Bid'ah – Uzushi

 

 

 

Maulidi: Wazazi Hawataki Kuacha Bid’ah Wananihukumu Siwatii -- Maswali: Bid'ah – Uzushi

 

 

Maulidi: Kusoma Maulidi Katika Sherehe Za Ndoa Inafaa? -- Maswali: Bid'ah – Uzushi

 

 

 

Maulidi: Ufafanuzi Wa Khofu Ya Kupotea Qur-aan, Zafa (Zefe) Za Maulidi Si Kwa Ajili Makafiri Waujue Uislamu? -- Maswali: Bid'ah – Uzushi

 

 

 

Maulidi: Maneno Kwenye Khutbah Hayakuwepo Wakati Wa Nabiy (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّم) Vipi Maulidi Yawe Bid'ah? -- Maswali: Bid'ah - Uzushi

 

 

 

Maulidi: Anataka Kufahamishwa Usomaji Sahihi Wa Maulidi Au Namna Sahihi Ya Kusherehekea

 

 

 

Maulidi: Anataka Kujua Kuhusu Maulidi Na Ikiwa Yameanzishwa Na Mashia

 

 

 

Maulidi: Ikiwa Qur-aan Imehifadhiwa Vipi Swahaba Walikhofia Kupotea? Maulidi Yana Ubaya Gani?

 

 

 

Maulidi: Kumfanyia Maulidi Mtoto Anapotahiriwa Jando Inajuzu?

 

 

 

Maulidi: Kusoma Maulidi Kwenye Harusi Badala Kupiga Ngoma Inafaa?

 

 

 

Maulidi: Kutumia Aayah Nyingi Kuthibitisha Uzushi Wa Maulidi Japo Hayajatajwa Katika Qur-aan

 

 

 

Maulidi: Mume Anakesha Maulidini Hataki Kupokea Nasaha Za Mke Afanyeje?

 

 

 

Maulidi: Ufafanuzi Wa Khofu Ya Kupotea Qur-aan, Zafa (Zefe) Za Maulidi Si Kwa Ajili Makafiri Waujue Uislamu?

 

 

 

Maulidi: Wanafunzi Wa Madrasa Wanachangishwa Pesa Kwa Ajili Ya Maulidi Mwalimu Hataki Kupokea Nasaha

 

 

 

Maulidi Kusherehekewa Wakati Msichana Anavunja Ungo Na Kwa Biharusi

 

 

 

 

 

 

 

Share