49-Dalili Za Kheri Katika Mambo Yamfaayo Maiti: Kumlipia maiti nadhiri

 

Kumlipia maiti nadhiri:

 

 

Sa’ad bin ‘Ubada alimuuliza Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam), ‘Hakika mama yangu amefariki na alinadhiria? Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) akamjibu, “Mlipie nadhiri yake au tekeleza nadhiri yake.”

 

Share