25-Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Markaz Kununua Chakula Cha Zakaatul-Fitwr Mapema Ili Kuwuazia Waislamu

 

Markaz Za Kiislamu Kununua Chakula Cha Zakaatul-Fitwr Mapema Ili Kuwuazia Waislamu

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

SWALI:

 

Markazi za Kiislamu nchi za Magharibi inataka kununua  vyakula kama mchele, mapema sana kabla ya 'Iyd tuseme siku kumi kabla. Kisha watatangaza kuwa wako tayari kupokea pesa za Zakaatul-Fitwr kutoka kwa Waislamu ili wazigawe kwa ajili yao. Hii ni kwa sababu haiwezekani kununua kiasi ya chakula wakipokea pesa siku mbli kabla ya 'Iyd. Nini Hukmu Yake? 

 

JIBU:

 

Hakuna ubaya kwa Markazi kununua chakula mapema kisha kuwauzia wanaotaka kununua Zakaatul-Fitwr kisha kuigawa kabla ya wakati wake.

 

[Imaam Ibn ‘Uthaymiyn [Fataawaa (71475)]

 

 

Share