Mwezi Kuonekana Baina Ya Nyota Mbili Zilokuwa Ziking’ara Ni Ishara Gani?
SWALI:
A.Alykum nimefurahishwa
JIBU:
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho
Kwanza kabisa tunapenda kuwakumbusha wote wenye kuzoea kufupisha Salaam au kufupisha kumswalia Mtume wetu (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) au kufupisha kumtukuza Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala), ni bora waache kufanya hivyo na waandike kwa urefu kwani zote hizo ni 'Ibaadah na ni bora kuzifanya kwa ukamilifu ikiwemo katika kuandika, kutamka n.k. Pia kuongeza neno 'Ta'ala' kwenye Salaam kwa kusema 'Assalaamu 'Alaykum wa RahmatuLlaahi Ta'ala wa Barakaatuh', si jambo tulilofundishwa katika Salaam na hivyo ni bora mtu kuliepuka katika Salaam.
.
Shukrani zetu za dhati kwa swali lako kuhusu mwezi kuonekana baina ya nyota mbili.
Jambo hili mbali na kuwa linaonekana kuwa kinyume na maumbile kwani katika enzi zetu hatujawahi kuona
Tufahamu kuwa hakuna maajabu yoyote kwa
Mtoto wake (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akiitwa Ibraahiym aliaga dunia siku ambayo jua lilipatwa. Maswahaba (Radhiya Allaahu ‘anhum) wakaanza kusema kuwa jua limepatwa kwa ajili ya kifo cha Ibraahiym. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akawarekebisha Maswahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum) kwa kuwaambia kuwa jua ni kiumbe
Kwa hiyo, mwezi kuonekana katika hali hiyo na nyota mbili ni miongoni mwa ishara Zake Aliyetukuka haina maana yoyote nyingine. Tayari zipo ishara nyingi
Na Allaah Anajua zaidi
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha
