006-Maswali 200 Na Majibu Ya 'Aqiydah: Nini Alama Ya Mapenzi Ya Mja Kwa Rabb Wake?

 

  200سُؤالٌ وَ جَوَابٌ فِي الْعَقِيدَة

Maswali 200 Na Majibu Ya ‘Aqiydah

 

لِلشَّيخ حافِظ بن أحْمَد الحَكمَيّ 

Shaykh Haafidhw Bin Ahmad Al-Hakamiyy (رحمه الله)  

Imefasiriwa na:  Alhidaaya.com

 

006-Nini Alama Ya Mapenzi Ya Mja Kwa Rabb Wake?

 

 

 

 

Swali: 

 

Nini alama ya mapenzi ya mja kwa Rabb Wake (عز وجل)

 

Jibu:

 

 

ج: علامة ذلك: أن يحب ما يحبه الله تعالى ويبغض ما يسخطه فيمتثل أوامره ويجتنب مناهيه ويوالي أولياءه ويعادي أعداءه ;ولذا كان أوثق عرى الإيمان الحب في الله والبغض فيه.

Dalili ya hilo ni, mja kupenda yale Anayopenda Allaah (سبحانه وتعالى) na kuchukia Anayoyachukia kwa kutekeleza amri Zake, kujitenga na makatazo Yake, kupenda vipenzi Vyake, na kuchukia maadui Zake. Na kwa kufanya hivyo itakuwa ni kamba madhubuti ya Iymaan, kupenda kwa ajili ya Allaah (سبحانه وتعالى) na kuchukia kwa ajili Yake.

 

 

 

 

Share