Imaam Ash-Sha'biy - Sijui!!

Sijui!!

 

www.alhidaaya.com

 

 

Aliulizwa Imaam Ash-Sha'biy (Rahimahu Allaah) kuhusiana na mas-alah (katika Dini), akajibu: 'Sijui'

 

Akaambiwa: 'Je, hustahi kusema, 'Sijui'? Na wewe ni Faqiyh wa watu wa 'Iraaq?

 

Akajibu (Rahimahu Allaah): 'Lakini Malaika hawakustahi pindi waliposema:

{{...Hatuna elimu isipokuwa Uliyotufunza...}}!

 

 

[I'laam Al-Muwaqi'iyn, juz. 4, uk. 167-168]

Share