Skip to main content

'Abdullaah bin Mas'uwd - Fuateni Wala Msizushe

Kauli Za Salaf

Fuateni Wala Msizushe Mmetoshelezewa

www.alhidaaya.com

‘Abdullaah bin Mas’uwd (Radhwiya Allaahu ‘anhu) amesema:

“Fuateni wala msizushe, mmeshatoshelezewa (mmekamilishiwa Dini)."

[Sharh Uswuwl I’tiqaad Ahlis-Sunnah (1/86)]

(Yaani Dini ishakamilika na mafunzo yaliyopokelewa lutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam)  yametosheleza; hakuna haja ya mtu kuzusha au kuingiza lake jipya katika Dini).