Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Awrah Ya Mwanamke Mbele Ya Mahaarim Wake

‘Awrah Ya Mwanamke Mbele Ya Mahaarim Wake

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

Kipi kiasi kinachochukuliwa kuwa ni 'awrah kwa mwanamke awapo na wajomba zake kwa upande wa mama, wajomba zake upande wa baba na ndugu zake, nyumbani?

 

JIBU:

 

 

Anaruhusiwa kuonyesha kwa Mahram wake: uso, kichwa, shingo, mikono, miguu, chini ya muundi, na anapaswa kusitiri kila kitu mbali na hivyo tulivyotaja.

 

[Imaam Muhammad bin Swaalih Al-‘Uthaymiyn - Hijaab Al-Mar-ah wa ziynatuhaa, ukurasa wa 43]

Share