Hudhayfah Bin Al-Yamaani: Fuateni Njia Ya Waliowatangulia

Fuateni Njia Ya Waliowatangulia (Nao Ni Maswahaba)

 

Hudhayfah Bin Al-Yamaani (Radhwiya Allaahu ‘anhu)

 

www.alhidaaya.com  

 

 

“Mcheni Allaah enyi hadhara ya Maquraa. Fuateni njia ya walio kabla yenu, kwani wa-Allaahi, mkitanguliza (yenu mkaacha ya waliowatangulia - Maswahaba), mtakuwa mmetangulia mbali, na mkiyaacha kuliani na kushotoni basi mtapotoka upotofu wa mbali.”

 

 

[Sharh Uswuwl I’tiqaad Ahlis-Sunnah (1/90)]

 

 

Share