Shaykh Fawzaan: Kuapa Kwa Kuweka Mkono Kwenye Qur-aan Ni Jambo Halina Dalili

Kuapa Kwa Kuweka Mkono Kwenye Qur-aan Ni Jambo Halina Dalili

 

Shaykh Fawzaan  (Hafidhwahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

Amesema Shaykh Fawzaan  (Hafidhwahu Allaah):

 

 

“Kuweka mkono kwenye Mswahafu na kuapia (ni jambo) lisilo na asli (katika Dini; halina dalili), bali hicho ni kitendo cha watu wasio na elimu."

 

 

[Sharhu Ighaathati Al-Lahfaan]

 

 

Share