04-Imaam Ibn Baaz:Twawaaf Na Sa’y Wakati Swalaah Ya Fardh Inaanza

 

Twawaaf Na Sa’y Wakati Swalaah Ya Fardh Inaanza

 

 Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

SWALI:

 

Nini hukmu ya kutokumaliza twawaaf au Sa’y wakati Swalaah ya fardh imeanza kuswaliwa?

 

JIBU:

 

Inampasa asite, na aswali katika Jamaa, kisha aendelee twawaaf na sa’y yake pale alipofikia kabla ya kuanza Swalaah.

 

 

[Fataawa al-Hajj wal-‘Umrah waz-Ziyaarah – uk. 80]

 

 

Share