06-Imaam Ibn Baaz: Kulazimika Kuswali Rakaa Mbili Nyuma Ya Maqaam Ibraahiym

 

Kulazimika Kuswali Rakaa Mbili Nyuma Ya Maqaam Ibraahiym 

 

 Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

 

Je, ni lazima kuswali Rakaa mbili baada ya kumaliza twawaaf nyuma ya Maqaam Ibraahiym? Nini hukmu ya mwenye kusahau kuziswali?

 

JIBU:

 

 

Sio lazima kuswali Rakaa mbili nyuma ya Maqaam Ibraahiym, bali inakuwa ni sahihi hata akiswali mtu popote kwengine katika Masjidul-Haraam. Vile vile hakuna madhara kwa anayesahau kuziswali kwani hizo ni Sunnah na sio fardhi.

 

 Wa biLLaahi At-Tawfiyq wa Swalla Allaahu ‘alaa Nabiyyina Muhammad wa aalihi wa Swahbihi wa sallam.

 

[Fataawa al-Hajj wal-'Umrah waz-Ziyaarah uk. 81]

 

 

 

Share