Itikadi Za Ushia Kutoka Katika Vitabu Vyao: 2 Itikadi Yao Juu Ya Qur-aan

 

Itikadi Za Ushia Kutoka Katika Vitabu Vyao: 2

 

Itikadi Yao Juu Ya Qur-aan

 

 

Alhidaaya.com

 

 

 

Qur-aan

 

 

1.      Wanaamini kwamba Qur-aan haijakamilika.

 

 

2.      Qur-aan ina aya 17,000. Ya kwetu (Waislamu) ina aya 6,236.

 

 

3.      Abu Bakr Asw-Swiddiyq alipinga Qur-aan.

 

 

4.     Qur-aan ya asili iko kwa Imam wa 12.

 

 

5.    Qur-aan itasomwa, itfundishwa na Imam wa 12 atakaporudi.

 

 

6.   ‘Aliy aliwaonyesha Swahaba Qur-aan ya asili wakaikataa.

 

7.   Aayah zinazozungumzia fadhila za ‘Aliy zilitolewa kwa makusudi katika hii Qur-aan tuliyonayo.

 

 

8. Kuna Hadiyth kama 2000 za Mashia zinzozungumzia Aayah. zilizokuwepo halafu zikatolewa katika hii Qur-aan na kuondolea kwa ayah zingine.

 

 

9.   Murtaddiyn (walioritadi) waliondoa jina la ‘Aluy katika Qur-aan.

 

 

Marejeo:

(1) Uswuul al Kafi 1:228/ Faslul Khitaab fi Tahrif Kitaabi Rabil Arbaab ya Nuri Tabarsi kilichothibitishwa na Khomeni katika ' Al- Hukumaat -ul- Islaamiyyah".

 

(2) Uswuul al Kaafi uk. 671.

 

(3) Uswuul al Kaafi uk. 671.

 

(4) Kashful-Asraar uk. 111.

 

(5) Uswuul al Kaafi 2-632.

 

(6) Uswuul al Kaafi uk. 622.

 

(7) Maqbool - 1067 - Uswuul al Kafi Juzuu1 uk. 228.

 

(8) Tafsir Ali Qummi - 308 /Uswuul al Kaafi 1:416/Tanbihi ya Tafsiri ya Maqbool 637/ Al- Ihtijaj – Tabrasiy - 1-254/ Tafsir ya Saafi - 1- 32/ Muqaddamah 6, kutoka Tafseer Saafi uk.32 Juzuu -1.

 

(9) Uswuul al Kaafi 1:228/ Faslul Khitwaab fi Tahriyf Kitaabi Rabbil Arbaab cha Nuuri Tabrasiy.

 

(10) Suwrah Muhammad, Aya 9, Ibara 26 - Molvi Maqbool Dehli uk.1011.

 

.../3

 

 

Share