Wanawake Wanaojichua, Bikira Huweza Kuondoka?
SWALI:
ASSALAAMU ALAYKUM NASHUKURU
JIBU:
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.
Shukrani zetu za dhati kwa swali lako kuhusu kutoka ubikira kwa kujichua.
Ubikira au ule ugozi ambao Kiswahili inaitwa kizinda, ni ngozi nyembamba
Kujichua ni mojawapo ya njia ambayo inaweza kumfanya msichana akose ubikira wake. Mbali na kuwa kujichua ni haramu katika Dini yetu ya Uislamu. Allaah Aliyetukuka Anasema:
“Na ambao wanazilinda tupu zao, Isipokuwa kwa wake zao au kwa iliyowamiliki mikono
Soma zaidi kuhusu masuala ya kujichua:
Nini Hukumu Ya Kujichua Sehemu Za Siri Au Kujisaga?
Kutumia Kitu Kujitoa Matamanio Nini Hukmu Yake
Mwanamke Kujichezea Hadi Apate Matamanio Afanye Ghuslu?
Tunamuomba Allaah Aliyetukuka Atuepushe na jambo
Na Allaah Anajua zaidi
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha
