Imaam Ibn Baaz: Walioghafilika Ni Wale Wasiojishughulisha Na Kutafuta 'Ilmu

 

Walioghafilika Ni Wale Wasiojishughulisha Na Kutafuta 'Ilmu

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

 Alhidaaya.com

 

 

 

Amesema Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaahu Ta'aalaa):

 

"Hakika Mwana Aadam ikiwa hahudhurii Halaqaat (Duruws) za 'Ilmu na wala hasikilizi Khutbah wala hajishughulishi na kuchukua kutoka kwa Ahlul-'Ilm, basi kunazidi kughafilika kwake na huenda moyo wake ukawa mgumu hadi akapigwa muhuri na akawa miongoni mwa walioghafilika."

 

 

Share