Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Usiwe Na Kasumba Na Mlinganiaji

Usiwe Na Kasumba Na Mlinganiaji

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

“Usiwe na kasumba na mlinganiaji au mtengenezaji ikiwa amepinda katika haki. Kwa sababu haki si kwa (kutazamwa) wingi wa watu, bali haki ni kwa kuwafikiana na Kitabu (Qur-aan) na Sunnah.”

 

 

[Ash-Sharhu Al-Mumti’, mj. 4, uk.379]

 

 

Share