Kujikinga Na Shaytwaani Katikati Ya Surah Unaposoma Qur-aan
SWALI:
JIBU
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu 'anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho
Ni sawa kabisa kuanza kusoma Qur-aan kwa A'udhu Billahi Mina-Shaytaanir-Rajiym ikiwa ni katikati ya sura kwani tumeamrishwa kufanya hivyo mtu anapoanza kusoma Qur-aani
)) فَإِذَا قَرَأْتَ الْقُرْآنَ فَاسْتَعِذْ بِاللّهِ مِنَ الشَّيْطَانِ الرَّجِيمِ ((
((Na ukisoma Qur-aan muombe Allaah Akulinde na shaytwaan maluuni)) [An-Nahl: 98]
Unaweza pia kuongezea na Bismillahir-Rahmaanir-Rahiym hata
Wallaahu A'aalam
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha


