Imaam Ibn Baaz: Makosa Yaliyoenea Kwenye Ndimi Za Watu-02: Kauli "Kwa Haki Ya Muhammad"

Makosa Yaliyoenea Kwenye Ndimi Za Watu - 02

 

Kauli "Kwa Haki Ya Muhammad"

 

www.alhidaaya.com

 

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

 

"Haijuzu kusemwa 'Kwa Haki Ya Muhammad' wala kusemwa 'Kwa Jaha Ya Muhammad' wala kusemwa 'Kwa Haki Ya Manabii' wala kwa (maneno) mengine mfano wa hayo; kwani kauli kama hizo ni bid'ah."

 

 

[Al-Fataawaa, mj. 9, uk. 327]

 

Share