Imaam Ibn Al-Qayyim: Anayeufungamanisha Moyo Katika Yaliyoharamishwa Atakuwa Mateka Ya Kiza Cha Matamanio

 

 

Anayeufungamanisha Moyo Wake Katika Yaliyoharamishwa Atakuwa Mateka Katika Kiza Cha Matamanio

 

Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

 

Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:

 

“Atakayeufungamanisha moyo wake katika yaliyoharamishwa, atakuwa mateka katika kiza cha matamanio.”

 

 

Na amesema pia: 

 

“Moyo uliofungamana katika haramu, kila unapotilia hima kuachana nayo, ili utoke humo, (hujikuta) hurejea humo (kwenye haramu).”

 

 

[Rawdhwah Al-Muhibbiyn (597]

 

 

Share