Imaam Ibn Taymiyyah: Mipaka Ya Kumkhofu Allaah Ni Kujizuia Kutenda Madhambi

 

Mipaka Ya Kumkhofu Allaah Ni Kujizuia Kutenda Madhambi

 

Imaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

Imaam Ibn Al-Qayyim amesema:

 

“Nilimsikia Shaykhul-Islaam Ibn Taymiyyah akisema: “Mipaka ya khofu ni lenye kukuzuia kumuasi Allaah,  kwa hiyo mengineyo zaidi ya hivyo hayahitajiki.”

 

 

[Jaami’ Al-Adaab (1/348)]

 

 

Share