Biringani Za Ukwaju

VIPIMO
Bilingani 2 Makubwa
Vitunguu maji 2 vya kiasi
Nyanya 2 za kiasi
Thomu uliyosagwa au kuparuzwa 1 ½ Kijiko cha chai
Pilipili mbichi iliyosagwa
(au kukatwa ndogondogo) 1 kijiko cha chai
Chumvi kiasi
Mafuta 2 vijiko vya supu
Ukwaju 1 Kikombe cha chai
Vitunguu vya kijani (spring onions) mche mmoja
Mafuta ya kukaangia mabilingani
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha


