Hikmah Ya Kuteremshwa Qur-aan Kidogo Kidogo Na Kutokana Na Matukio

 

 

HikmahYa Kuteremshwa Qur-aan Kidogo Kidogo Na Kutokana Na Matukio

 

 Alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

Kuna mantiki gani kwa Quran kushushwa kidogo kidogo, na tena mpaka kitokezee kisa ndio aya za Quraan zinashuka?

   

 

JIBU:

 

 

AlhamduliLLaah Himidi Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’aalaa) Rabb wa walimwengu, Swalaah na Salaam zimshukie Nabiy Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhwiya Allaahu 'anhum) na waliowafuata kwa wema mpaka Siku ya Mwisho.

 

 

Hakika kuna hikma nyingi za kuteremshwa Qur-aan kidogo kidogo na pole pole tena kwa wakati mbali mbali, ima kwa tukio fulani au bila ya kutokea tukio lolote. Na mfano wa Aayaat au Suwrah ambao zimeteremshwa bila ya matukio ni khabari za kale kama visa vya Manabii, na pia mfano khabari na hali zitakavyokuwa za Aakhirah kama Siku ya Qiyaamah, hali za wakaazi wa Jannah na watakaotumbukizwa Motoni na kadhalika.

 

Maelezo na faida zaidi zinapatikana katika kiungo kifuatacho:

 

Hikmah Ya Kuteremshwa Qur-aan Kidogo Kidogo Wakati Mbali Mbali

 

 

Na Allaah Anajua zaidi  

 

 

 

 

Share