Wasifu Wa Maswahaba Kumi Waliobashiriwa Pepo

  

 

Wasifu  Wa  Maswahaba

 

Kumi

 

Waliobashiriwa

 

Pepo

 

 

Al-Khansaa Book Centre.

 

 

 

Wasifu wa Maswahaba Kumi Waliobashiriwa Pepo

 

 

 

 

 

© Al-Khansaa Book Centre.

 

 

 

 

 

 

Chapa ya

Kwanza, Machi 2011

 

 

 

 

 

Kimeandikwa na: Idara ya Utafiti ya Darussalam

 

 

 

Kimefasiriwa kwa Lugha ya Kiswahili na:

 

Hassan Athman Mnjeja

 

Kimepitiwa na:

Abu Sumayyah na Yassin Kachechele

 

 

Typesetting:

 

Al-Khansaa Book Centre,

S.L.P 78397,

Dar es Salaam,

Tanzania.

 

 

Kimechapishwa na:

 

Al-Khansaa Book Centre,

Dar es Salaam,

Tanzania.

 

 

 

 

 

 

 

Haki Zote Zimehifadhiwa.

 

 

“Muhammad ni Mtume wa Allaah. Na walio pamoja naye wana nguvu mbele ya makafiri, na wanahurumiana wao kwa wao. Utawaona wakiinama na kusujudu wakitafuta fadhila na radhi za Allaah. Alama zao zi katika nyuso zao, kwa athari ya kusujudu. Huu ndio mfano wao katika Taurati. Na mfano wao katika Injili ni kama mmea ulio toa chipukizi lake, kisha ukalitia nguvu, ukawa mnene, ukasimama sawa juu ya ubuwa wake, ukawafurahisha wakulima, ili kuwakasirisha kwa ajili yao makafiri. Allaah Amewaahidi walioamini na wakatenda mema katika wao msamaha na ujira mkubwa.” (48:29)  

 

 

 

  

 

Share