Maswali Ya Uchumi (Biashara-Kazi)

Amekopeshwa Kwa Pesa Za Kigeni, Je, Anaweza Kulipa Kwa Pesa Za Kwao?
Amepatiwa Kazi Na Aliye Na Mahusiano Yasiyo Halaal Na Dada Yake- Je Kazi Hiyo Ni Halaal Kwake?
Amepokea Bidhaa Si Zake, Kuzifungua Ni Pombe, Afanyeje?
Anafanya Kazi Inayohusu Ubebaji Wa Maboksi Yenye Ulevi
Anafanya Kazi Ya Kuchunga Watu Wasizame – Kuna Wanawake Wako Uchi Je, Halali Au Haramu?
Anapata Matatizo Na Meneja Wake Kazini Nchi Za Kigeni Afanyeje?
Anapewa Pesa Na Serikali, Je, Mume Hapasi Kumhudumia Ikiwa Ni Hivyo?
Anasomea Uundaji Wa Kompyuta Je Halaal Kazi Hii Ikiwa Watu Wanatumia Kwa Maasi?
Anataka Kujiajiri Mwenyewe Lakini Hana Mtaji
Anayefanya Kazi Benki Anahesabiwa Kuwa Ni Mpokea Rushwa? Nini Hukumu Ya Kufanya Kazi Benki?
Biashara Ya Kuuza Maji Inafaa Kwa Ajili Ya Kuwahudumia Yatima?
Biashara Ya Manukato Ya Wanawake Ni Haramu?
Biashara Ya Vitu Vilivyokatazwa Na Serikali Japo Dini Haikuharamisha
Biashara Zipi Muislamu Anatakiwa Afanye
Hukmu Ya Kufanya Kazi Katika Kiwanda Cha Pombe
Hukumu Ya Kuuza Ardhi Akijua Kuwa Itatumika Kwa Maasi
Ikiwa Hana Ushahidi Kuwa Ni Bidhaa Za Mayahudi, Anaweza Kununua?
Inafaa Kufanya Biashara Ya Condom?
Inafaa Kufanya Kazi Kunakouzwa Nguruwe Na Pombe Na Hawezi Kuswali Anakidhi Swalah Zote
Inafaa Kuibia Serikali Mita Za Taa?
Inafaa Kukubali Mwaliko Wa Anayedanganya Serikali Kuwa Wametengana (Seperation)
Kamlipia Aliyefariki Pesa Alizochukua Bila Idhini Ya Mwenye Mali?
Kazi Isiyokuwa Na Likizo Za Siku Za Dini Ya Kiislaam Na Hawezi Kuswali Swalaah Ya Dhwuhaa
Kazi Ya Kinyozi Inafaa Kwa Kuwakata Nywele Wanawake?
Kazi Ya Nesi Kumlisha Mgonjwa Asiye Muislamu Nyama Ya Nguruwe
Kibarua Cha Kufanyia Kazi Sehemu Za Ma'asi
Kodi Ya Serikali Ni Lazima Kuilipia?
Kuchukua Mkopo Wa Ribaa kulipia Deni
Kufanya Biashara Ya Kuuza DVD Na Picha Zenye Maasi
Kufanya Kazi Katika Duka Au Sehemu Inayouzwa Nyama Ya Nguruwe

Pages