Maswali Ya Nikaah - Ahlul-Kitaab-Washirikina

Afanyeje Ili Aweze Kumrudia Mke Aliyemuacha Kwa Kukataa Kwake Kusilimu Sasa Anataka Kusilimu??
Amemrudia Mke Aliyeritadi Na Ambaye Alikuwa Akimhubiria Aingie Ukiristo
Amemuoa Mkristo Bila Kufuata Sheria Za Kiislamu Hataki Kuingia Katika Uislamu Nini Hukmu Yake Na Watoto Watakaozaa?
Ameoa Mwanamke Asiye Muislamu Baada Ya Kuzaa Naye Nje Ya Ndoa, Naye Bado Hakubadili Dini Wala Hana Niyah, Nini Hukmu Yake?
Amesilimu Kwa Sababu Ya Kutaka Kuoa lakini anakiri kuwa yeye ni Mkristo, Je, Ndoa Inaswihi?
Anataka Kusilimu Lakini Anataka Kwanza Aonyeshwe Wapi Kwenye Qur-aan Kuna Amri Kumi Za Muusa, Na Kwa Nini Waislam Wanaswali Ijum
Asiye Muislam Anataka Kusilimu Kwa Kunioa, Nikikataa Itahesabikaje?
Binti Yangu Amezaa Na Mkristo Tumekubali Posa Kwa Sharti Abadili Dini, Sasa Anakataa Tufanyeje?
Dada Anayetaka Kusilimu, Watoto Awafanye Nini Ili Wasichukuliwe Na Baba Yao Asiyetaka Wawe Na Mama Yao?
Kumsilimisha Kafiri Na Hukmu Ya Kuoana
Kumuoa Mkristo Atakayesilimu Siku Ya Ndoa
Kumuoa Mkristo Bila Ya Ridha Ya Wazazi Wake Inafaa Ikiwa Mke Mwenyewe Anataka Kusilimu?
Kuoa Mkristo Inafaa Japokuwa Sharti Za Ndoa Zimekamilika?
Kuoa Wanawake wa Kitabu (Wakrito Na Mayahudi)
Kusema Assalam Alaykum Kwa Mkristo Inajuzu?
Mama Yake Muislamu, Baba Mkristo, Je Anaweza Kuoa Mwanamke Wa Kiislamu?
Mkiristo Anataka Kujua Mipaka Ya Kumuona Mwanamke Wakati Anataka Kuchumbiwa
Mume Aliyesilimu Hafanyi Bidii Kujifunza Kusoma Qur-aan Anasoma Tafsiyr Pekee
Mwanamke Aliyesilimu Lazima Awe Na Walii? Ameoa Bila Ya Kuwajulisha Wazazi Wa Mke
Nani Ahlul-Kitaab Na Wanawake Gani Tumeruhusiwa Kuwaoa?
Ndoa Na Aliyesilimu Asiyekuwa na Walii Inafaa
Ndoa Ya Ahlul-Kitaab Inafungwa Msikitini Au Kanisani?
Nimemuoa Mwanamke Mbudhi (Budhist), Je Nimuache?
Wakristo Ni Ahlul-Kitaab Na Hali Wanaamini Waungu Watatu (Utatu Mtakatifu)?