Maswali Ya Nikaah - Talaka - Eda

Akienda Kazini ndio talaka Yake – Mume Hamhudumii yeye wala watoto wake Afanyeje?
Akiwa Amemdanganya Mumewe Atakuwa Ametalikika (Talaka)?
Alimuoa Mwanamke Bila Ya Kumpenda Ila Ameshika Dini Sana, Sasa Hana Raha Naye, Ana Khofu Kumuacha
Ameachika Kisha Mume Kamuingilia Baada Ya Mwezi Bila Ya Kumtamkia, Itakuwa Ni Talaka Rejea?
Ameachika Talaka Tatu Bado Anampenda Mumewe Aolewe Na Kuachika Ili Warudiane?
Ameandika Talaka Miezi Minne Nyuma Ila Alikuwa Anasita, Mwishowe Amemtamkia Mkewe Talaka, Mke Ahesabu Ametalikiwa Tokea Lini?
Amedai Talaka, Anasema Sababu Ni Husda Na Shaytwaan
Amekhasimikiana Na Mumewe Muda Wa Miaka 15 Mume Hamuulizi Lolote Na Hakumtamkia Kuwa Kamuacha, Je Ameachika?
Amemshtaki Mahakamani Akamtisha Atamfanyia Kitendo Kibaya, Naye Akamshtaki, Sasa Miezi Sita Wametengana, Je, Talaka Imeshapita?
Amemtamkia Mke Aliye Aasi Anakufuru Dini Yake Talaka Tatu Mbali Mbali Kisha Bado Anamtaka. Mke Wa Pili Anataka Kuachwa
Amemtamkia Talaka Zaidi Ya Mara Tano Nyakati Mbali Mbali
Amemuacha Mke Mkubwa Kwa Wazazi Wake Ambako Hakuna Masikilizano – Mume Hamdumii Je Ana Haki Kudai Talaka?
Ameoa Kisha Ameacha Kwa Vile Mke Hana Maadili – Anataka Kumrudia Mkewe Lakini Mama Hayuko Radhi
Ameoa Wamepata Mtoto Lakini Kamwacha Kwa Ajili ya Wazazi Wake
Ameolewa Na Mume Mwengine Bila Kupewa Talaka Na Mumewe – Talaka Imetolewa Na Viongozi Wa Taasisi – Nini Hukmu Yake?
Ametamka Talaka Kwa Hamaki Kuwa Pindi Mkewe Akitoka Nje Ya Ndoa Itakuwa Talaka Yake – Anaweza Kurudisha Kauli Yake?
Anafaa Kuachika Ikiwa Mume Hawezi Tendo La Ndoa?
Anataka Talaka Kwa Mumewe Ili Aolewe Na Mimi
Anaweza Kuolewa Iikiwa Talaka Ya Kwanza Ni Moja Na Ya Pili Ni Talaka Mbili?
Haki Za Wanandoa Na Kuhusu Mahari Ya Mke Aliyepewa Talaka Bila Kuingiliana Na Mumewe
Hampendi Mumewe, Hawana Masikilizano, Hawalali Pamoja Miaka Anadai Talaka Lakini Mume Hataki Kutoa – Je Ndoa Inasihi Bado?
Ikiwa Mume Hajamgusa Mkewe Muda Wa Miezi Mitatu Ina Maana Kuwa Keshamtaliki?
Kampa Talaka Mkewe Kwa Fatwa Ya Shekhe Kuwa Ndoa Haisihi Baada Ya Kumuingilia Kwa Nyuma
Kitoka Nyumba Hupewa Mke Mkubwa Pindi Mume Anapooa Mke Wa Pili?
Kiwango Gani Mke Avumilie Maudhi Ya Mume? Na Sababu Zipi Za Kuomba Talaka?
Kumposa Mwanamke Katika Eda
Kumrejea Mke Baada Majosho Tatu
Kumtamkia Mke Talaka Kisha Kutaka Kumrudia
Kuna Du’aa Ya Kumfanya Mume AtoeTalaka Kiwepesi?
Kuomba Talaka Bila Sababu

Pages