Abuu Dardaa (رضي الله عنه): Kunyamaza Kimya Ni Aina Ya Hikmah

 

Kunyamaza Kimya Ni Aina Ya Hikmah

 

 

Abuu Dardaa (Radhwiya-Allaahu ‘anhu)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

Swahabi Abuu Dardaa (Radhwiya-Allaahu ‘anhu) alisema:

 

“Kunyamaza kimya ni aina ya hikmah, lakini ni watu wachache mno wanaoifanyia kazi.”

 

 

[Jaami' Bayaan Al-‘Ilm (628)]

 

 

Share