05-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Kupendeza Kutoa Salamu Unapoingia Nyumbani

 

Riyaadhw Asw-Swaalihiyn

 

باب استحباب السلام إِذَا دخل بيته

05-Mlango Wa Kupendeza Kutoa Salamu Unapoingia Nyumbani

 

Alhidaaya.com

 

 

قَالَ الله تَعَالَى:

فَإِذَا دَخَلْتُم بُيُوتًا فَسَلِّمُوا عَلَىٰ أَنفُسِكُمْ تَحِيَّةً مِّنْ عِندِ اللَّـهِ مُبَارَكَةً طَيِّبَةً ۚ  ﴿٦١﴾

Mtakapoingia majumbani toleaneni salaam; maamkizi kutoka kwa Allaah, yenye Baraka, mazuri. [An-Nuwr: 61]

 

 

 

وعن أنسٍ رضي الله عنه ، قَالَ : قَالَ لي رسول الله صلى الله عليه وسلم : (( يَا بُنَيَّ ، إِذَا دَخَلْتَ عَلَى أهْلِكَ ، فَسَلِّمْ ، يَكُنْ بَرَكَةً عَلَيْكَ ، وعلى أهْلِ بَيْتِكَ )) رواه الترمذي ، وقال : (( حديث حسن صحيح )) .

Imepokewa kutoka kwa Anas (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Ee mtoto wangu! Unapoingia kwa familia yako basi watolee salamu na hiyo itakuwa ni baraka kwako na kwa watu wa nyumbani kwako." [At-Tirmidhiy, na akasema ni Hadiyth Hasan Swahiyh].

 

 

 

Share