18-Al-Arba’uwn An-Nawawiyyah: Mche Allaah Popote Ulipo

 

Al-Arba’uwn An-Nawawiyyah:

 

Hadiyth Ya 18

 

اتَّقِ اللهَ حَيْثُما كنْتَ

 

Mche Allaah Popote Ulipo

 

Alhidaaya.com

 

Sikiliza Hadiyth:

 

عن أبي ذَرٍّ جُنْدُب بِن جُنَادَة، وأبي عبد الرحمن مُعَاذ بِن جَبَلٍ رضي الله عنهما، عن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال: ((اتَّقِ اللهَ حَيْثُما كنْتَ، وأَتْبِعِ السَّيئةَ الحسنةَ تَمْحُها، وخالقِ الناسَ بخُلُقٍ حسنٍ)) رَوَاهُ التِّرْمِذِيُّ   وَقَالَ: حَدِيثٌ حَسَنٌ، وَفِي بَعْضِ النُّسَخِ: حَسَنٌ صَحِيحٌ. 

Imepokelewa kutoka kwa Abuu Dharr Jundub bin Junaadah Na Abuu ‘Abdir-Rahmaan Mu’aadh bin Jabal (Radhwiya Allaahu 'anhumaa) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ““Mche Allaah popote pale ulipo. Na fuatisha kitendo kiovu kwa kitendo kizuri ili kikifute (kilicho kiovu), na ishi na watu kwa tabia nzuri.” [At-Tirmidhiy na kasema ni Hadiyth Hasan. Na katika  baadhi ya nukuu: Hasan Swahiyh]

 

 

Share