010-Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Kitabu Cha Vyakula Na Vinywaji: Kilichochinjwa Kwa Ajili Ya Asiye Allaah

 

Swahiyh Fiqh As-Sunnah

 

كِتَابُ الأَطْعِمَةِ وَالأَشْرِبةِ وَمَا يَتَعَلَّقُ بِهِمَا

 

Kitabu Cha Vyakula Na Vinywaji Na Yanayohusiana Na Viwili Hivi

 

Alhidaaya.com

 

Vyakula Vilivyoharamishwa Na Kitabu Cha Allaah

 

Kilichochinjwa Kwa Ajili Ya Asiye Allaah

 

 

 

5-  Kilichochinjwa Kwa Ajili Ya Asiye Allaah 

 

Ni kama sanamu, au kiumbe, au kaburi, au maiti kama vile Sayyid Badawiy (Misri) au vinginevyo katika “matwaaghuwtw” (kila kiabudiachwo badala ya Allaah kama watu waliojivika uungu, mashaytwaan na kadhalika).

 

Na hii ni kwa Neno Lake Ta’aalaa:

 

"وَمَا ذُبِحَ عَلَى النُّصُبِ"

 

“Na waliochinjwa kwa ajili ya ‘ibaadah ya waabudiwa”.  [Al-Maaidah: 03].

 

 

 

Share