Amefariki Hana Wazazi Wala Watoto

SWALI

ASSALAM ALAYKUM,

AMEFARIKI MTU (MWANAUME) HAKUACHA WAZAZI WALA MTOTO BALI WARITHI WAKE NI;

 (A)  NDUGU (WAWILI) WA KIKE MMOJA NA WAKIUME MMOJA. ALIOZALIWA NAO  BABA MMOJA NA MAMA MMOJA (SHAQIIQ)

(B)  NDUGU (WANANE) WA KIKE WATANO NA WAKIUME WATATU. ALIOZALIWA NAO BABA MMOJA MAMA MBALIMBALI.

JE WANAORITHI NI (A) TU, AU (A) NA (B) PAMOJA?

 

 


 

JIBU:       

      

 Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola Mlezi wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu 'anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.

 

 

Shukran kwa swali lako hilo kuhusu urithi wa wafiwa. Samahani kwa kuchelewa kukujibu. Hapa chini tumeweka mgawo wa mali ya aliyefariki baada ya kutoa matumizi ya mazishi na madeni yake.

 

Mrithi

 

Uhusiano

Haki yake

Hukumu

1

Kaka shaqiqi

66.66%

 

Huyu anapata thuluthi mbili (2/3)

2

Dada shaqiqi

33.33%

 

Nasibu yake ni thuluthi (1/3)

3

Kaka wa baba1

0

Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa aliyefariki.

4

Kaka wa baba2

0

Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa aliyefariki.

5

Kaka wa baba3

0

Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa aliyefariki.

6

Dada wa baba1

0

Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa aliyefariki.

 

Dada wa baba2

0

Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa aliyefariki.

 

Dada wa baba3

0

Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa aliyefariki.

 

Dada wa baba4

0

Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa aliyefariki.

 

Dada wa baba5

0

Anazuiliwa kurithi kwa kuwepo ndugu wa kiume aliye shaqiqi wa aliyefariki.

 

Jumla

100%

 

 

 

Na Allaah Anajua zaidi

 

Share