12-Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Mtoto Anawajibika Kufunga Swiyaam?

Mtoto Anawajibika Kufunga Swiyaam?

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

SWALI:

Ipi hukumu Swawm ya mtoto? 
  

JIBU:

 

Swawm ya mtoto kama tulivyosema, ni mustahab (imependekezwa) na si waajib. Mtoto akifunga, anapewa thawabu; na ikiwa ataacha kufunga, hapati dhambi. Hata hivyo, inatakikana kwa mlezi wake kumuamrisha kufunga ili azowee. 

[Fataawaa fiy Ahkaam Asw-Swiyaam, uk. 84]

 

Share