17-Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Lini Anapaswa Mu’takif Kutoka Katika I’tikaaf Yake?

Lini Anapaswa Mu’takif Kutoka Katika I’tikaaf Yake?

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

17. Lini Anapaswa Mu’takif Kutoka Katika I’tikaaf Yake?

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

Anatoka Mu’takif kutoka katika I’tikaaf yake inapomalizika Ramadhwaan, na Ramadhwaan humalizika kwa kuzama jua usiku wa ‘Iyd. 

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (20/170)]

Share