02-Imaam Ibn Baaz Na Al-Lajnah Ad-Daimah: Hukmu Ya Kunadi Kwa Ajili Ya Swalaah Ya ‘Iyd

Hukmu Ya Kunadi Kwa Ajili Ya Swalaah Ya ‘Iyd

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) Na Al-Lajnah Ad-Daimah

 

www.alhidaaya.com

 

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

 

"Kunadi kwa ajili ya Swalaah ya ‘Iyd ni bid’ah, haina asili."

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (13/23)]

 

 

Al-Lajnah Ad-Daimah wamesema:

 

"Kunadi kwa ajili ya Swalaah za ‘Iyd mbili haijuzu bali hivyo ni bid’ah."

 

 

[Al-Lajnah Ad-Daimah (8//316)] 

 

Share