Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Kupatia Sunnah Moja Ni Bora Kuliko Wingi Wa Matendo

Kupatia Sunnah Moja Ni Bora Kuliko Wingi Wa Matendo

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

“Kupatia (kutekeleza) Sunnah moja ni bora kuliko wingi wa matendo (yasiyokuwa ya Sunnah), na hivi ndivyo Anavyosema Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):

 

لِيَبْلُوَكُمْ أَيُّكُمْ أَحْسَنُ عَمَلًا ۚ

“Ili Akujaribuni ni nani kati yenu mwenye ‘amali nzuri zaidi.”   [Al-Mulk: 2]

 

 

[Swifatu Asw-Swalaah (uk. 170)]

 

 

Share