03-Fadhila Za Laa Ilaaha Illa Allaah: Atakayefariki Akiwa Anajua Kwamba Laa Ilaaha Illa Allaah Ataingia Jannah

Hadiyth Kuhusu Fadhila Za Laa Ilaaha Ila Allaah

 

 

03-Atakayefariki Akiwa Anajua Kwamba Laa Ilaaha Illa Allaah Ataingia Jannah

 

 

 عَنْ عُثْمَانَ بِنْ عَفَّان رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: ((مَنْ مَاتَ وَهُوَ يَعْلَمُ  أَنَّهُ لَا إِلَهَ إِلَّا اللَّهُ دَخَلَ الْجَنَّةَ))

Imepokelewa kutoka kwa ‘Uthmaan bin ‘Afaan (رضي الله عنه) amesema:  Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) amesema: ((Atakayefariki akiwa anajua kwamba: laa ilaaha illa Allaah – hapana muabudiwa wa haki isipokuwa Allaah ataingia Jannah)). [Muslim]

 

 

Share