03-Shaykh Swaalih Al-Fawzaan: Mama Alifanya Hajj Na Mtu Asiye Mahram Wake

 

 

Mama Alifanya Hajj Na Mtu Asiye Mahram Wake

 

Shaykh Swaalih Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

Mama yangu aliyekwishafariki sasa, (Allaah Amrehemu) amefanya Hajj akiwa na umri wa miaka 60 na mtu asiye Mahram wake. Je, Hajj yake ni sahihi au nimfanyie tena mimi Hajj.

 

JIBU:

 

 

Ikiwa mwanamke alifanya Hajj na mtu asiye na Mahram wake, atakuwa amemuasi Rabb wake na amefanya dhambi. Hii ni kwa sababu Nabiy (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amekataza mwanamke kusafiri bila ya Mahram kwenda Hajj au safari nyingine yoyote. Ama kuhusu Hajj yake aliyofanya itakuwa ni sahihi In Shaa Allaah ingawa ilihusisha dhambi, tunamuomba Allaah Amsamehe.

 

 

[Al-Muntaqaa Min Fataawa ibn Fawzaan]

 

 

Share